Uzinduzi wa Alama za...
Uzinduzi wa Alama za Mipaka Kwenye Chanzo cha Maji cha Mto Naura Kilichopo Arusha.
19 Jun, 2022 08:00AM - 12:30PM MTO NAURA - ARUSHA
Uzinduzi wa Alama za Mipaka Kwenye Chanzo cha Maji cha Mto Naura Kilichopo Arusha.

Uzinduzi wa uwekaji alama za mipaka katika mto Naura katika kuadhimisha wiki ya mazingira iliyoanza Juni tarehe 1, ambacho kilele chake kitakuwa tarehe 5 Juni mwaka huu.

Mgeni rasmi aliyezindua uwekaji wa alama za mipaka alikuwa Meya wa Jiji la Arusha.