Jumuiya za Watumia Maji

Usimamizi endelevu wa Rasilimali za Maji katika Bonde la Pangani hufanyika kwa kuzingatia mfumo shirikishi unaotoa fursa kwa jamii katika kupanga na kusimamia matumizi ya maji kama ulivyoainishwa katika mageuzi makubwa ya Sekta ya Maji yaliyofanyika kupitia Sera ya Maji ya Mwaka 2002. Kufuatia maelekezo hayo ya ki-sera, sehemu ya VIII ya Sheria ya Usimamizi wa Rasilimali za Maji Na. 11 ya Mwaka 2009 imeelekeza kuundwa kwa Jumuiya za watumia maji ambazo zimepewa majukumu ya kuhakisha vyanzo vya maji vinasimamiwa ipasavyo katika ngazi ya Jamii ambapo Jumuiya hizo huundwa kwa kuzingatia Kifungu cha 80 mpaka 83 cha sheria hiyo. Mpaka kufikia Juni 2021 Bodi imefanikiwa kuunda na kusajili jumla ya Jumuiya za Watumia Maji 23 ambazo ni:

Na

Kidakio

Jumuiya za Watumia Maji

 

Kikuletwa

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Nduruma

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji Kikuletwa ya Juu

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Themi

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji Kikuletwa ya Chini

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Sanya

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Kware

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Karanga

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Kikafu

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Weruweru

 

Ruvu

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Rau

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Chemchemi za Miwaleni

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Himo

 

Pangani

Jumuiya ya Watumia Maji ya Pangani Juu

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji Pangani Chini

 

Mkomazi

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Saseni

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Yongoma

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Hingilili

 

Umba

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Umba

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Mdando

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Mbaramo

 

Zigi

Jumuiya ya Watumia Maji Zigi Juu

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji Zigi Chini

 

 

Jumuiya ya Watumia Maji ya Mto Kihuhwi